Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 7:15 - Swahili Revised Union Version

Yule maiti akainuka, akaketi, akaanza kusema. Akampa mama yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yule aliyekufa akaketi, akaanza kuongea. Na Yesu akamkabidhi kwa mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yule aliyekufa akaketi, akaanza kuongea. Na Yesu akamkabidhi kwa mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yule aliyekufa akaketi, akaanza kuongea. Na Yesu akamkabidhi kwa mama yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule aliyekuwa amekufa akaketi akaanza kuongea, naye Isa akamkabidhi kwa mama yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule aliyekuwa amekufa akaketi akaanza kuongea, naye Isa akamkabidhi kwa mama yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule maiti akainuka, akaketi, akaanza kusema. Akampa mama yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 7:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, walipokuwa wakimzika mtu, angalia, waliona kikosi; wakamtupa yule mtu kaburini mwa Elisha; mara yule maiti alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka, akasimama kwa miguu.


Akasema, Kiokote. Basi akanyosha mkono, akakitwaa.


Akakaribia, akaligusa jeneza; wale waliokuwa wakilichukua wakasimama. Akasema, Kijana, nakuambia, Inuka.


Hofu ikawashika wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Nabii mkuu ametokea kwetu; na, Mungu amewaangalia watu wake.