Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 6:16 - Swahili Revised Union Version

na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskarioti, ndiye aliyekuwa msaliti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote, aliyekuwa msaliti.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote ambaye alikuwa msaliti.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskarioti, ndiye aliyekuwa msaliti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 6:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Thadayo;


na Andrea, na Filipo, na Bartholomayo, na Mathayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thadayo, na Simoni Mkananayo,


na Mathayo na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Simoni aitwaye Zelote,


Akashuka pamoja nao, akasimama mahali tambarare, pamoja na wanafunzi wake wengi, na makutano makubwa ya watu waliotoka Yudea wote na Yerusalemu, na pwani ya Tiro na Sidoni; waliokuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao;


Yuda (siye Iskarioti), akamwambia, Bwana, imekuwaje ya kwamba wataka kujidhihirisha kwetu, wala si kwa ulimwengu?


ashike mahali katika huduma hii na utume huu, alioukosa Yuda, aende zake mahali pake mwenyewe.


Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, kwa hao walioitwa, waliopendwa katika Mungu Baba, na kuhifadhiwa kwa ajili ya Yesu Kristo.