Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.
Luka 4:44 - Swahili Revised Union Version Basi, alikuwa akihubiri katika masinagogi ya Galilaya. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea. Biblia Habari Njema - BHND Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea. Neno: Bibilia Takatifu Naye aliendelea kuhubiri katika masinagogi ya Yudea. Neno: Maandiko Matakatifu Naye aliendelea kuhubiri katika masinagogi ya Uyahudi. BIBLIA KISWAHILI Basi, alikuwa akihubiri katika masinagogi ya Galilaya. |
Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.
Ikawa makutano walipomsonga wakilisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti,