Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:44 - Swahili Revised Union Version

Basi, alikuwa akihubiri katika masinagogi ya Galilaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye aliendelea kuhubiri katika masinagogi ya Yudea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye aliendelea kuhubiri katika masinagogi ya Uyahudi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, alikuwa akihubiri katika masinagogi ya Galilaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:44
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.


Akaenda akihubiri katika masinagogi yao, katika nchi yote ya Galilaya, na kutoa pepo.


Naye alikuwa akifundisha katika masinagogi yao, akitukuzwa na watu wote.


Ikawa makutano walipomsonga wakilisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti,