Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:21 - Swahili Revised Union Version

Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akaanza kuwaambia, “Andiko hili mlilosikia limetimia leo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akaanza kuwaambia, “Andiko hili mlilosikia limetimia leo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akaanza kuwaambia, “Andiko hili mlilosikia limetimia leo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo akaanza kwa kuwaambia, “Leo andiko hili limetimia mkiwa mnasikia.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo akaanza kwa kuwaambia, “Leo Andiko hili limetimia mkiwa mnasikia.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na neno la nabii Isaya linatimia kwao, likisema, Kusikia mtasikia, wala hamtaelewa; Kutazama mtatazama, wala hamtaona.


Akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.


Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?


Mnayachunguza maandiko kwa sababu mnadhani kuwa ndani yake ninyi mna uzima wa milele; na maandiko yayo hayo ndiyo yanayonishuhudia.


Lakini mambo yale aliyohubiri Mungu tangu zamani kwa kinywa cha manabii wake wote, ya kwamba Kristo wake atateswa, ameyatimiza hivyo.