Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:15 - Swahili Revised Union Version

Naye alikuwa akifundisha katika masinagogi yao, akitukuzwa na watu wote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akaanza kufundisha kwenye masinagogi yao, na kila mmoja akamsifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akaanza kufundisha kwenye masinagogi yao, na kila mmoja akamsifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye alikuwa akifundisha katika masinagogi yao, akitukuzwa na watu wote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, utaita taifa usilolijua, na taifa lisilokujua wewe litakukimbilia, kwa sababu ya BWANA, Mungu wako, na kwa ajili yake Mtakatifu wa Israeli; maana amekutukuza.


Na alipofika mji wa kwao, akawafundisha katika sinagogi lao, hata wakashangaa, wakasema, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii?


Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.


Naye Yesu alikuwa akizunguka katika miji yote na vijiji, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila aina.


Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.


Wakashangaa wote, hata wakaulizana, wakisema, Nini hii? Ni elimu mpya! Maana kwa uweza awaamuru hata pepo wachafu, nao wamtii!


Akaenda akihubiri katika masinagogi yao, katika nchi yote ya Galilaya, na kutoa pepo.


Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini waziwazi; bali alikaa nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila upande.


Siku ya sabato alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo.


Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome.