Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 3:6 - Swahili Revised Union Version

Na wote wenye mwili watauona wokovu wa Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na, watu wote watauona wokovu aletao Mungu.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na, watu wote watauona wokovu aletao Mungu.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na, watu wote watauona wokovu aletao Mungu.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wote wenye mwili watauona wokovu wa Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 3:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na utukufu wa BWANA utafunuliwa, Na watu wote watauona pamoja; Kwa kuwa kinywa cha BWANA kimenena haya.


naam, asema hivi, Ni neno dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo, na kuwarejesha watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.


BWANA ameweka wazi mkono wake mtakatifu Machoni pa mataifa yote; Na ncha zote za dunia Zitauona wokovu wa Mungu wetu.


Akawaambia, Nendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.


Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Mgiriki; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye ukarimu mwingi kwa wote wamwitao;


Lakini nasema, Je! Wao hawakusikia? Naam, wamesikia, Sauti yao imeenea duniani kote, Na maneno yao hadi katika miisho ya ulimwengu.