Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 3:31 - Swahili Revised Union Version

wa Melea, wa Mena, wa Matatha, wa Nathani, wa Daudi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

aliyekuwa mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

aliyekuwa mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

aliyekuwa mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wa Melea, wa Mena, wa Matatha, wa Nathani, wa Daudi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 3:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na haya ndiyo majina ya hao waliozaliwa kwake huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani,


Na haya ndiyo majina ya watoto aliozaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani;


Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;


Nayo nchi itaomboleza, kila jamaa peke yake; jamaa ya nyumba ya Daudi peke yao, na wake zao peke yao; jamaa ya nyumba ya Nathani peke yao, na wake zao peke yao;


wa Simeoni, wa Yuda, wa Yusufu, wa Yonamu, wa Eliakimu,


wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,