Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 3:18 - Swahili Revised Union Version

Basi, kwa maonyo mengine mengi aliwahubiria watu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, pamoja na mawaidha mengine mengi, Yohane aliwahimiza watu akiwahubiria Habari Njema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, pamoja na mawaidha mengine mengi, Yohane aliwahimiza watu akiwahubiria Habari Njema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, pamoja na mawaidha mengine mengi, Yohane aliwahimiza watu akiwahubiria Habari Njema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi, kwa maonyo mengine mengi Yahya aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi, kwa maonyo mengine mengi Yahya aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, kwa maonyo mengine mengi aliwahubiria watu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 3:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

ambaye ungo wake uko mkononi mwake, naye atausafisha sana uwanja wake wa kupuria, na kuikusanya ngano ghalani mwake, bali makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.


Lakini mfalme Herode alipokaripiwa na yeye kwa ajili ya Herodia, mke wa nduguye, na maovu yote aliyoyafanya Herode,


Yohana alimshuhudia, akapaza sauti yake akasema, Huyu ndiye niliyenena habari zake ya kwamba, Ajaye nyuma yangu amekuwa mbele yangu; kwa maana alikuwa kabla yangu.


Kesho yake alimwona Yesu akija kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!


Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa huyu ni Mwana wa Mungu.


Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi.


Naye akiisha kupita pande zile na kuwafariji kwa maneno mengi, akafika Ugiriki.


mwenye kuonya, katika kuonya kwake; mwenye kukirimu, kwa moyo mweupe; msimamizi, na asimamie kwa bidii; anayerehemu, na arehemu kwa furaha.