Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:53 - Swahili Revised Union Version

Nao daima walikuwa ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakakaa muda wote hekaluni wakimsifu Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakakaa muda wote hekaluni wakimsifu Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakakaa muda wote hekaluni wakimsifu Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao daima walikuwa ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:53
7 Marejeleo ya Msalaba  

na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


Nao wale wakatoka, wakahubiri kotekote, Bwana akitenda kazi pamoja nao, na kulithibitisha lile neno kwa ishara zilizofuatana nalo.]


Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu.


Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.


Neema ya Bwana Yesu na iwe pamoja nanyi nyote. Amina.