Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:51 - Swahili Revised Union Version

Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:51
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, walipokuwa wakiendelea mbele na kuongea, tazama! Kukatokea gari la moto, na farasi wa moto, likawatenga wale wawili; naye Eliya akapanda mbinguni kwa upepo wa kisulisuli.


Basi Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni, akaketi mkono wa kulia wa Mungu.


Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.


Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu.


Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.


Akiisha kusema hayo, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao.


Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa Mungu na chapa kamili ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi katika mkono wa kulia wa Ukuu huko juu;


Basi, iwapo tunaye kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, na tuyashike sana maungamo yetu.