Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 21:3 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Hakika nawaambia, huyu mjane maskini ametia zaidi kuliko wote;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akasema, “Nawaambieni kweli, mama huyu mjane maskini ametia katika hazina kiasi kikubwa kuliko walichotia wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akasema, “Nawaambieni kweli, mama huyu mjane maskini ametia katika hazina kiasi kikubwa kuliko walichotia wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akasema, “Nawaambieni kweli, mama huyu mjane maskini ametia katika hazina kiasi kikubwa kuliko walichotia wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akasema, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka humo zaidi ya watu wengine wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akasema, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka humo zaidi ya watu wengine wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Hakika nawaambia, huyu mjane maskini ametia zaidi kuliko wote;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 21:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kweli nawaambia, atamweka juu ya vitu vyake vyote.


Akamwona mjane mmoja maskini akitia mle senti mbili.


maana, hao wote walitoa sadaka katika mali iliyowazidi, bali huyu katika umaskini wake ametia vyote alivyokuwa navyo.


Lakini, kwa hakika nawaambia, Palikuwa na wajane wengi katika nchi ya Israeli zamani za Eliya, wakati mbingu zilipofungwa miaka mitatu na miezi sita, njaa kuu ikaingia katika nchi nzima;


Nami nawaambia kweli, Wapo katika hawa wanaosimama hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata wauone kwanza ufalme wa Mungu.


Petro akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;


Maana ni kweli, Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta,


Maana, kama nia ipo, hukubaliwa kwa kadiri ya alivyo navyo mtu, si kwa kadiri ya asivyo navyo.