Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:44 - Swahili Revised Union Version

Basi Daudi amwita Bwana; amekuwaje mwana wake?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikiwa Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ basi atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ikiwa Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ basi atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi amwita Bwana; amekuwaje mwana wake?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:44
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto wa kiume, naye atamwita jina lake Imanueli.


Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.


maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.


Hadi niwaweke adui zako Kuwa kiti cha kuwekea miguu yako.


Na watu wote walipokuwa wakimsikiliza, aliwaambia wanafunzi wake,


ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.


Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,


Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.


Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzawa wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.