Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:34 - Swahili Revised Union Version

Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mtu yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.


Yule bwana akamsifu wakili asiyemwaminifu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.


Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.


Basi, katika ufufuo atakuwa mke wa yupi? Maana aliolewa na wote saba.


Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.