Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:31 - Swahili Revised Union Version

hata wa tatu akamwoa, na kadhalika wote saba, wakafa, wasiache watoto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba – wote walikufa bila kuacha watoto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba – wote walikufa bila kuacha watoto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba — wote walikufa bila kuacha watoto.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

hata wa tatu akamwoa, na kadhalika wote saba, wakafa, wasiache watoto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:31
2 Marejeleo ya Msalaba  

na wa pili [akamtwaa yule mke, akafa hana mtoto;]


Mwisho akafa yule mke naye.