Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 20:2 - Swahili Revised Union Version

wakamwambia, wakisema, Tuambie, unatenda mambo hayo kwa mamlaka gani? Tena, ni nani aliyekupa mamlaka haya?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamuuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamuuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakamwambia, wakisema, Tuambie, unatenda mambo hayo kwa mamlaka gani? Tena, ni nani aliyekupa mamlaka haya?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 20:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu? Je! Wataka kuniua kama ulivyomwua yule Mmisri? Musa akaogopa, akasema, Kumbe! Jambo lile limejulikana.


Ikawa siku moja, alipokuwa akiwafundisha watu hekaluni, na kuihubiri Habari Njema, wakuu wa makuhani na waandishi pamoja na wazee walimtokea ghafla;


Akajibu akawaambia, Nami nitawauliza ninyi neno moja; niambieni,


Basi Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Ni ishara gani utuoneshayo, kwamba unafanya haya?


Lakini yeye aliyemdhulumu mwenziwe akamsukumia mbali, akisema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?


Enyi wenye shingo gumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, siku zote mnampinga Roho Mtakatifu; kama baba zenu walivyofanya, na ninyi ni vivyo hivyo.