Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:30 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa macho yangu yameuona wokovu wako,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu ulioleta,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu ulioleta,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu ulioleta,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana macho yangu yameuona wokovu wako,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana macho yangu yameuona wokovu wako,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa macho yangu yameuona wokovu wako,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wokovu wako nimeungoja, Ee BWANA.


Ee BWANA, nimeungojea wokovu wako, Na maagizo yako nimeyatenda.


Ee BWANA, nimeutamani wokovu wako, Na sheria yako ndiyo furaha yangu.


naam, asema hivi, Ni neno dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo, na kuwarejesha watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.


BWANA ameweka wazi mkono wake mtakatifu Machoni pa mataifa yote; Na ncha zote za dunia Zitauona wokovu wa Mungu wetu.


Uliouweka tayari machoni pa watu wote;


Na wote wenye mwili watauona wokovu wa Mungu.


Basi ijulikane kwenu ya kwamba wokovu huu wa Mungu umepelekwa kwa Mataifa, nao watasikia! [