Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 17:11 - Swahili Revised Union Version

Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemu, alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akiwa safarini kwenda Yerusalemu alipitia katika mipaka ya Samaria na Galilaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akiwa safarini kwenda Yerusalemu alipitia katika mipaka ya Samaria na Galilaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akiwa safarini kwenda Yerusalemu alipitia katika mipaka ya Samaria na Galilaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemu, alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 17:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Vivyo hivyo nanyi, mtakapokwisha kuyafanya yote mliyoagizwa, semeni, Sisi tu watumwa wasio na faida; tumefanya tu yaliyotupasa kufanya.