Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 15:3 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia mfano huu, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawajibu kwa mfano:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawajibu kwa mfano:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawajibu kwa mfano:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Isa akawaambia mfano huu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Isa akawaambia mfano huu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia mfano huu, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 15:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Sisi sote kama kondoo tumepotea; Kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe; Na BWANA ameweka juu yake Maovu yetu sisi sote.


Nami nitaufurahia Yerusalemu, nitawaonea shangwe watu wangu; sauti ya kulia haitasikika ndani yake tena, wala sauti ya kuomboleza.


Bali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Lakini nendeni, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka; kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.


Mafarisayo na waandishi wakanung'unika, wakisema, Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi, tena hula nao.


Ni nani kwenu, mwenye kondoo mia, akipotewa na mmojawapo, asiyewaacha wale tisini na tisa nyikani, aende akamtafute yule aliyepotea hadi amwone?


Akamwambia tena mara ya pili, Simoni wa Yohana, wanipenda? Akamwambia, Ndiyo, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Chunga kondoo wangu.


Nao waliposikia wakamtukuza Mungu, wakamwambia, Ndugu yetu, unaona jinsi Wayahudi walioamini walivyo elfu nyingi, nao wote wana wivu sana kwa ajili ya torati.