Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 15:11 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Mtu mmoja alikuwa na wana wawili;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye watoto wawili wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye watoto wawili wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akaendelea kusema, “Kulikuwa na mtu mmoja mwenye watoto wawili wa kiume.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akaendelea kusema: “Kulikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na wana wawili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akaendelea kusema: “Kulikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na wana wawili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Mtu mmoja alikuwa na wana wawili;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 15:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, kwa kuwa wana wa Yonadabu, mwana wa Rekabu, wameitimiza amri ya baba yao aliyowaamuru, lakini watu hawa hawakunisikiliza mimi;


Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.


yule mdogo akamwambia babaye, Baba, nipe sehemu ya mali iliyo uridhi wangu. Akawagawia mali yake.