Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 13:20 - Swahili Revised Union Version

Akasema mara ya pili, Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena akauliza: “Nitaulinganisha ufalme wa Mungu na nini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena akauliza: “Nitaulinganisha ufalme wa Mungu na nini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena akauliza: “Nitaulinganisha ufalme wa Mungu na nini?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akauliza tena, “Nitaufananisha ufalme wa Mungu na nini?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akauliza tena, “Nitaufananisha Ufalme wa Mwenyezi Mungu na nini?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema mara ya pili, Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 13:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaokaa sokoni, wanaowaita wenzao, wakisema,


Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika shamba lake;


Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini?


Umefanana na chachu aliyotwaa mwanamke akaisitiri ndani ya pishi tatu za unga, hata ukachacha wote pia.