Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 13:12 - Swahili Revised Union Version

Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umeponywa ugonjwa wako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umeponywa ugonjwa wako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umeponywa ugonjwa wako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alipomwona, akamwita, akamwambia, “Mwanamke, uwe huru, umepona ugonjwa wako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alipomwona, akamwita, akamwambia, “Mwanamke, uwe huru, umepona ugonjwa wako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 13:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.


Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; nililiambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,


Yafueni majembe yenu yawe panga, na miundu yenu iwe mikuki; aliye dhaifu na aseme, Mimi ni hodari.


Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.


Hata kulipokuwa jioni, wakamletea wengi wenye pepo; akawatoa pepo kwa neno lake, akawaponya wote waliokuwa wagonjwa,


Na tazama, palikuwa na mwanamke aliyekuwa na pepo wa udhaifu muda wa miaka kumi na minane, naye amepindana, hawezi kujinyosha kabisa.


Akaweka mikono yake juu yake, naye akanyoka mara hiyo, akamtukuza Mungu.


Na huyu mwanamke, aliye wa uzao wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga miaka kumi na minane hii, haikupasa afunguliwe kifungo hiki siku ya sabato?