Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:77 - Swahili Revised Union Version

Uwajulishe watu wake wokovu, Kwa kusamehewa dhambi zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kuwajulisha watu wake wokovu utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kuwajulisha watu wake juu ya wokovu utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uwajulishe watu wake wokovu, Kwa kusamehewa dhambi zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:77
19 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue BWANA; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hadi aliye mkubwa miongoni mwao, asema BWANA; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.


Akafika katika nchi yote iliyo karibu na Yordani, akihubiri ubatizo wa toba iletayo ondoleo la dhambi,


Na wote wenye mwili watauona wokovu wa Mungu.


Kesho yake alimwona Yesu akija kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!


Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya kuwa huyu ni Mwana wa Mungu.


Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi.


Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja nyuma yake, yaani, Yesu.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana;


Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kulia, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.


ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake, ili aoneshe haki yake, kwa sababu ya kuziachilia katika ustahimili wa Mungu dhambi zote zilizotangulia kufanywa;


Katika yeye huyo, kwa damu yake, tunao ukombozi wetu, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.