Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:75 - Swahili Revised Union Version

Kwa utakatifu na kwa haki Mbele zake siku zetu zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

tuwe wanyofu na waadilifu mbele yake, siku zote za maisha yetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

tuwe wanyofu na waadilifu mbele yake, siku zote za maisha yetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

tuwe wanyofu na waadilifu mbele yake, siku zote za maisha yetu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

katika utakatifu na haki mbele zake, siku zetu zote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

katika utakatifu na haki mbele zake, siku zetu zote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa utakatifu na kwa haki Mbele zake siku zetu zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:75
19 Marejeleo ya Msalaba  

watu wale niliojiumbia nafsi yangu, ili wazitangaze sifa zangu.


BWANA wa majeshi asema hivi, Saumu ya mwezi wa nne, na saumu ya mwezi wa tano, na saumu ya mwezi wa saba, na saumu ya mwezi wa kumi, zitakuwa furaha na shangwe, na sikukuu za kuchangamkia, kwa nyumba ya Yuda; basi zipendeni kweli na amani.


Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.


Ya kwamba atatujalia sisi, Tuokoke mikononi mwa adui zetu, Na kumwabudu pasipo hofu,


kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.


Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.


na mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.


upate kumcha BWANA, Mungu wako, kushika amri zake zote, na sheria zake, ninazokuamuru, wewe na mwanao, na mwana wa mwanao, siku zote za maisha yako; tena siku zako ziongezwe.


Iliyobaki, ndugu, tunawasihi na kuwaonya kwamba mwenende katika Bwana Yesu; kama mlivyopokea kwetu jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama nanyi mnavyoenenda, vivyo hivyo mpate kuzidi sana.


Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.


Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, ndugu mliopendwa na Bwana, kwa kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo mpate wokovu, katika kutakaswa na Roho, na kuiamini kweli;


ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu kabla ya wakati kuanza,