Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:73 - Swahili Revised Union Version

Kiapo alichomwapia Abrahamu, baba yetu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alimwapia Abrahamu babu yetu, kwamba atatujalia sisi

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alimwapia Abrahamu babu yetu, kwamba atatujalia sisi

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alimwapia Abrahamu babu yetu, kwamba atatujalia sisi

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kiapo alichomwapia baba yetu Ibrahimu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kiapo alichomwapia baba yetu Ibrahimu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kiapo alichomwapia Abrahamu, baba yetu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:73
10 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA, Mungu wa mbingu, aliyenitoa katika nyumba ya babangu, na kusema nami katika nchi niliyozaliwa, aliniapia akisema, Nitawapa uzao wako nchi hii; yeye atamtuma malaika wake mbele yako, nawe utamtwalia mwanangu mke kutoka huko;


Kaa ugenini katika nchi hiyo, nami nitakuwa pamoja nawe, na kukubariki, maana nitakupa wewe na uzao wako nchi hizi zote. Nami nitakifanya imara kiapo nilichomwapia Abrahamu baba yako.


Agano alilofanya na Abrahamu, Na ahadi yake kwa Isaka.


ili nipate kukitimiza kiapo nilichowaapia baba zenu, kuwapa nchi itiririkayo maziwa na asali, kama ilivyo hivi leo. Ndipo nikajibu, nikasema, Amina, Ee BWANA.


Ya kwamba atatujalia sisi, Tuokoke mikononi mwa adui zetu, Na kumwabudu pasipo hofu,


Na itakuwa, kwa sababu mnazisikiliza hukumu hizi, na kuzishika na kuzitenda, basi BWANA, Mungu wako, atakutimilizia agano na rehema aliyowaapia baba zako;


bali kwa sababu BWANA anawapenda, na kwa sababu alitaka kukitimiza kiapo chake alichowaapia baba zenu, ndiyo sababu BWANA akawatoa kwa mkono wa nguvu, akawakomboa katika nyumba ya utumwa, katika mkono wa Farao, mfalme wa Misri.


Kwa maana Mungu, alipompa Abrahamu ahadi, kwa sababu alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi yake,