Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:50 - Swahili Revised Union Version

Na rehema zake hudumu vizazi hata vizazi Kwa hao wanaomcha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huruma yake kwa watu wanaomcha hudumu kizazi hata kizazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huruma yake kwa watu wanaomcha hudumu kizazi hata kizazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huruma yake kwa watu wanaomcha hudumu kizazi hata kizazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Rehema zake hudumu kizazi hadi kizazi, kwa wale wanaomcha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Rehema zake huwaendea wale wamchao, kutoka kizazi hadi kizazi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na rehema zake hudumu vizazi hata vizazi Kwa hao wanaomcha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:50
15 Marejeleo ya Msalaba  

Agano langu nitalifanya imara kati yangu na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.


lakini BWANA, Mungu wenu, ndiye mtakayemcha; naye atawaokoa mikononi mwa adui zenu wote.


Maana, kama mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, Ndivyo fadhili zake zilivyo kuu kwa wamchao.


Atawabariki wamchao BWANA, Wadogo kwa wakubwa.


Wamchao BWANA na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.


Hutimiza matakwa ya wote wamchao, Na pia husikia kilio chao, na huwaokoa.


BWANA huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.


Jinsi zilivyo nyingi fadhili zako Ulizowawekea wakuchao; Ulizowatendea wakukimbiliao Mbele ya wanadamu!


Hakika wokovu wake uko karibu na wamchao, Ndipo utukufu wake ukae katika nchi yetu.


nami nawarehemu maelfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.


Kwa kuwa Mwenye nguvu amenitendea makuu, Na jina lake ni takatifu.


Sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Msifuni Mungu wetu, enyi watumwa wake wote, ninyi mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.