Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:47 - Swahili Revised Union Version

Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

roho yangu inafurahi kwa sababu ya Mungu Mwokozi wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

roho yangu inafurahi kwa sababu ya Mungu Mwokozi wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

roho yangu inafurahi kwa sababu ya Mungu Mwokozi wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nayo roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nayo roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:47
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na nafsi yangu itamfurahia BWANA, Na kuushangilia wokovu wake.


Walakini nitamfurahia BWANA Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.


Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.


Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Kristo Yesu, tarajio letu;


Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu;


akalifunua neno lake kwa majira yake katika ule ujumbe niliokabidhiwa kwa amri ya Mwokozi wetu Mungu;


wasiwe wezi; bali wauoneshe uaminifu mwema wote, ili wayapambe mafundisho ya Mungu aliye Mwokozi wetu katika mambo yote.


tukilitazamia tumaini lenye baraka na kufunuliwa kwa utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;


Yeye aliye Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu; utukufu una yeye, na ukuu, na uwezo, na nguvu, tangu milele, na sasa, na hata milele. Amina.