Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:4 - Swahili Revised Union Version

upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ili nawe uweze kujionea mwenyewe ukweli wa mambo yale uliyofundishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ili nawe uweze kujionea mwenyewe ukweli wa mambo yale uliyofundishwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ili nawe uweze kujionea mwenyewe ukweli wa mambo yale uliyofundishwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili upate kujua ukweli kuhusu yale uliyofundishwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili upate kujua ukweli kuhusu yale uliyofundishwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

ili kukujulisha hakika ya maneno ya kweli, uwarudishie wakutumao maneno ya kweli?


Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake.


Mtu huyo alikuwa amefundishwa njia ya Bwana; na kwa kuwa roho yake ilikuwa ikimwaka, alianza kunena na kufundisha kwa bidii habari za Yesu; naye alijua ubatizo wa Yohana tu.


na kuyajua mapenzi yake, na kuyakubali mambo yaliyo bora, nawe umeelimishwa katika torati,


lakini katika kanisa napenda kunena maneno matano kwa akili zangu, nipate kuwafundisha wengine, kuliko kunena maneno elfu kumi kwa lugha.


Mwanafunzi na amshirikishe mwalimu wake katika mema yote.