Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 8:12 - Swahili Revised Union Version

Msiseme, Ni njama, kuhusu mambo yote ambayo watu hawa watasema, Ni njama; msihofu kwa hofu yao, wala msiogope.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Usijumuike nao katika njama zao, wala usiogope yale wanayoyaogopa wala kuwa na hofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Usijumuike nao katika njama zao, wala usiogope yale wanayoyaogopa wala kuwa na hofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Usijumuike nao katika njama zao, wala usiogope yale wanayoyaogopa wala kuwa na hofu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Usiite fitina kila kitu ambacho watu hawa hukiita fitina, usiogope kile wanachokiogopa, wala usikihofu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Usiite fitina kila kitu ambacho watu hawa hukiita fitina, usiogope kile wanachokiogopa, wala usikihofu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msiseme, Ni njama, kuhusu mambo yote ambayo watu hawa watasema, Ni njama; msihofu kwa hofu yao, wala msiogope.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 8:12
13 Marejeleo ya Msalaba  

lakini BWANA, Mungu wenu, ndiye mtakayemcha; naye atawaokoa mikononi mwa adui zenu wote.


Hapo waliingiwa na hofu pasipokuwapo hofu, Maana Mungu ameitawanya mifupa yake aliyekuhusuru. Umewatia aibu, Kwa sababu MUNGU amewadharau.


Ole wa watoto waasi; asema BWANA; watakao mashauri lakini hawayataki kwangu mimi; wajifunikao kifuniko lakini si cha roho yangu; wapate kuongeza dhambi juu ya dhambi;


Nanyi mtakaposikia habari za vita na fitina, msitishwe; maana, hayo hayana budi kutukia kwanza, lakini ule mwisho hauji upesi.


Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.


Basi Yoshua akakwea kutoka Gilgali, yeye, na watu wa vita wote pamoja naye, na mashujaa wote wenye uwezo.