Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 57:21 - Swahili Revised Union Version

Hapana amani kwa waovu; asema Mungu wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu wangu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu wangu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu wangu asema hivi: “Watu waovu sitawapa amani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu wangu asema, “Hakuna amani kwa waovu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu wangu asema, “Hakuna amani kwa waovu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hapana amani kwa waovu; asema Mungu wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 57:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, Yoramu alipomwona Yehu, akasema, Je! Ni amani, Yehu? Akajibu, Amani gani, maadamu uzinzi wa mama yako Yezebeli na uchawi wake ni mwingi?


Ole wake mtu mbaya; shari itakuwa kwake, kwa maana atapewa malipo ya mikono yake.


Hapana amani kwa waovu, asema BWANA.


Lakini nikasema, Nimejitaabisha bure, nimetumia nguvu zangu bure bila faida; lakini hakika hukumu yangu ina BWANA, na thawabu yangu ina Mungu wangu.


Njia ya amani hawaijui; wala hapana hukumu ya haki katika mienendo yao; wamejifanyia njia zilizopotoka; kila apitaye katika njia hizo hajui amani.


yaani, manabii wa Israeli, watabirio habari za Yerusalemu, na kuona maono ya amani katika habari zake; wala hapana amani, asema Bwana MUNGU.