Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 40:16 - Swahili Revised Union Version

Lebanoni nao hautoshelezi kwa kuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa kafara.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuni zote za Lebanoni na wanyama wake wote havitoshi kwa sadaka ya kuteketezwa mbele yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuni zote za Lebanoni na wanyama wake wote havitoshi kwa sadaka ya kuteketezwa mbele yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuni zote za Lebanoni na wanyama wake wote havitoshi kwa sadaka ya kuteketezwa mbele yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa sadaka za kuteketezwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa sadaka za kuteketezwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lebanoni nao hautoshelezi kwa kuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa kafara.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 40:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Dhabihu na matoleo hukupendezwa nazo, Umetuzidishia ila masikio, Kafara na sadaka za dhambi hukuzitaka.