Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 33:7 - Swahili Revised Union Version

Angalia, mashujaa wao wanalia nje, wajumbe wa amani wanalia kwa uchungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Haya, mashujaa wao wanalia, wajumbe wa amani wanaomboleza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Haya, mashujaa wao wanalia, wajumbe wa amani wanaomboleza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Haya, mashujaa wao wanalia, wajumbe wa amani wanaomboleza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Angalia, mashujaa wake wanapiga kelele barabarani, wajumbe wa amani wanalia kwa uchungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Angalia, watu wake mashujaa wanapiga kelele kwa nguvu barabarani, wajumbe wa amani wanalia kwa uchungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Angalia, mashujaa wao wanalia nje, wajumbe wa amani wanalia kwa uchungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 33:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na walipokwisha kumwita mfalme, wakatokewa na Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu, mwenye kuandika tarehe.


Ndipo Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu, mwenye kuandika tarehe, wakaenda kwa Hezekia, na nguo zao zimeraruliwa, wakamwambia maneno ya yule kamanda.


ndipo nitamwudhi Arieli; kutakuwapo maombolezo na kilio; naye atakuwa kwangu kama Arieli.


Ndipo Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu mwenye kuandika kumbukumbu, wakaenda kwa Hezekia, na nguo zao zikiwa zimeraruliwa, wakamwambia Hezekia maneno ya yule kamanda.


Wakamtokea Eliakimu, mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba ya mfalme, na Shebna, mwandishi, na Yoa, mwana wa Asafu, mwenye kuandika kumbukumbu.