Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 24:9 - Swahili Revised Union Version

Hawatakunywa divai pamoja na nyimbo; kileo kitakuwa uchungu kwao wakinywao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hakuna tena kunywa divai na kuimba; mvinyo umekuwa mchungu kwa wanywaji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hakuna tena kunywa divai na kuimba; mvinyo umekuwa mchungu kwa wanywaji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hakuna tena kunywa divai na kuimba; mvinyo umekuwa mchungu kwa wanywaji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawanywi tena mvinyo pamoja na wimbo, kileo ni kichungu kwa wanywaji wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawanywi tena mvinyo pamoja na wimbo, kileo ni kichungu kwa wanywaji wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hawatakunywa divai pamoja na nyimbo; kileo kitakuwa uchungu kwao wakinywao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 24:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Waketio langoni hunisema, Na nyimbo za walevi hunidhihaki.


Wewe nenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako.


Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!


Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, na walio hodari wa kuchanganya vileo;


Nami nitaikomesha sauti ya nyimbo zako, wala sauti ya vinubi vyako haitasikiwa tena.


Nami nitazigeuza sikukuu zenu kuwa maombolezo, na nyimbo zenu zote kuwa vilio; nami nitatia nguo za magunia katika viuno vyote, na upara katika kila kichwa; nami nitayafanya haya kuwa kama maombolezo kwa ajili ya mwana wa pekee, na mwisho wake kama siku ya uchungu.


Tena nyimbo za hekaluni zitakuwa vilio siku ile, asema Bwana MUNGU; mizoga itakuwa mingi; kila mahali wataitupa, wakinyamaza kimya.


BWANA wa majeshi atawalinda; Nao watakula na kuyakanyaga mawe ya teo; Nao watakunywa na kufanya kelele kama kwa divai; Nao watajazwa kama mabakuli, kama pembe za madhabahu.