Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 12:3 - Swahili Revised Union Version

Basi, kwa furaha mtateka maji katika visima vya wokovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtachota maji kwa furaha kutoka visima vya wokovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtachota maji kwa furaha kutoka visima vya wokovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtachota maji kwa furaha kutoka visima vya wokovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, kwa furaha mtateka maji katika visima vya wokovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 12:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kwako Wewe iko chemchemi ya uzima, Katika nuru yako tutaona nuru.


Waimbao na wachezao ngoma na waseme, Visima vyangu vyote vimo mwako.


Kama mpera kati ya miti ya msituni, Kadhalika mpendwa wangu kati ya vijana. Niliketi kivulini mwake kwa furaha, Na matunda yake niliyaonja kuwa matamu.


Nitafunua vijito vya maji juu ya vilima, na chemchemi katikati ya mabonde; nitageuza jangwa kuwa ziwa la maji, na mahali pakavu kuwa vijito vya maji.


Hawataona njaa, wala hawataona kiu; joto halitawapiga, wala jua; kwa maana yeye aliyewarehemu atawatangulia, naam, karibu na chemchemi za maji atawaongoza.


Kwa maana watu wangu hawa wametenda maovu mawili; wameniacha mimi, niliye chemchemi ya maji ya uzima, wamejichimbia visima, visima vyenye nyufa visivyoweza kuweka maji.


Tena itakuwa, kila kiumbe hai kisongamanacho, kila mahali itakapofika mito hiyo, kitaishi; kutakuwapo wingi mkubwa wa samaki, kwa sababu maji haya yamefika huko maana maji yale yatakuwa safi, na kila kitu kitaishi popote utakapofika mto huo.


Katika siku hiyo watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, watafunguliwa chemchemi ya kuwatakasa kutoka kwa dhambi na kwa unajisi.


Kwa kuwa katika utimilifu wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema.


Kisha akanionesha mto wa maji ya uzima, wenye kung'aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha enzi cha Mungu, na cha Mwana-kondoo,


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.


Kwa maana huyo Mwana-kondoo, aliye katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi yote katika macho yao.


Naye Hana akaomba, akasema, Moyo wangu wamshangilia BWANA, Pembe yangu imetukuka katika BWANA, Kinywa changu kimepanuka juu ya adui zangu; Kwa kuwa naufurahia wokovu wako;