Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 8:5 - Swahili Revised Union Version

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamwambia Musa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamwambia Musa:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 8:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na ndugu zao, Walawi, ndio waliowekwa ili kufanya huduma yote ya maskani ya nyumba ya Mungu.


Na hii ndiyo kazi ya hicho kinara cha taa, ilikuwa ni kazi ya ufuzi wa dhahabu; tangu kitako chake hata maua yake kilikuwa ni kazi ya ufuzi; vile vile kama ule mfano BWANA aliokuwa amemwonesha Musa, ndivyo alivyokifanya kinara.


Watwae Walawi na kuwaondoa kati ya wana wa Israeli, kisha uwatakase.


Na wakati huo BWANA alilitenga kabila la Lawi ili walichukue lile sanduku la Agano la BWANA, wasimame mbele ya BWANA kwa kumtumikia, na kuwabarikia watu kwa jina lake, hata hivi leo.