Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 22:2 - Swahili Revised Union Version

Na Balaki mwana wa Sipori akaona mambo yote ambayo Israeli wamewatendea Waamori.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme Balaki mwana wa Sipori, alijua mambo yote Waisraeli waliyowatendea Waamori.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme Balaki mwana wa Sipori, alijua mambo yote Waisraeli waliyowatendea Waamori.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme Balaki mwana wa Sipori, alijua mambo yote Waisraeli waliyowatendea Waamori.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Balaki mwana wa Sipori, aliona mambo yale yote ambayo Israeli aliwatendea Waamori,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Balaki mwana wa Sipori, aliona mambo yale yote ambayo Israeli aliwatendea Waamori,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Balaki mwana wa Sipori akaona mambo yote ambayo Israeli wamewatendea Waamori.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 22:2
4 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akasikiza sauti ya Israeli, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.


Ndipo Balaki, mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, akainuka, akapigana na Israeli; tena akatuma watu kumwita Balaamu, mwana wa Beori, aje awalaani;


Na wewe sasa, je! U mwema kuliko Balaki mwana wa Sipori, huyo mfalme wa Moabu, kwa lolote? Je! Yeye alishindana na Israeli, au kupigana nao?