Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 20:25 - Swahili Revised Union Version

Uwatwae Haruni na mwanawe Eleazari uwalete juu ya mlima wa Hori;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mchukue Aroni na Eleazari mwanawe, uwalete juu ya Mlima Hori.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mchukue Aroni na Eleazari mwanawe, uwalete juu ya Mlima Hori.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mchukue Aroni na Eleazari mwanawe, uwalete juu ya Mlima Hori.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watwae Haruni na Eleazari mwanawe, na uwapandishe juu katika Mlima Hori.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watwae Haruni na Eleazari mwanawe, na uwapandishe juu katika Mlima wa Hori.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uwatwae Haruni na mwanawe Eleazari uwalete juu ya mlima wa Hori;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 20:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

mwana wa Abishua, mwana wa Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, kuhani mkuu;


Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe Eleazari na Ithamari, Msiache wazi nywele za vichwani mwenu, wala msiyararue mavazi yenu; ili kwamba msife, tena asiukasirikie mkutano wote; lakini ndugu zenu, nyumba yote ya Israeli, na waomboleze kwa ajili ya waliochomwa na moto wa BWANA.


Kisha Nadabu na Abihu walikufa mbele za BWANA, waliposongeza moto wa kigeni mbele za BWANA, katika jangwa la Sinai, nao walikuwa hawana wana; na Eleazari na Ithamari wakafanya kazi ya ukuhani wakati wa uhai wa Haruni baba yao.


(Wana wa Israeli wakasafiri kutoka visima vya Bene-yaakani kwenda Mosera; Haruni akafa huko, akazikwa huko; na Eleazari mwanawe akahudumu kama kuhani badala yake.