Na Nadabu na Abihu, wana wa Haruni, wakatwaa kila mtu chetezo chake, wakatia moto ndani yake, wakatia na uvumba, nao wakatoa moto najisi mbele ya BWANA, ambao yeye hakuwaagiza.
Hesabu 16:6 - Swahili Revised Union Version Fanyeni neno hili; twaeni vyetezo, ninyi Kora na mkutano wake wote; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Basi, fanyeni hivi: Asubuhi, wewe pamoja na wafuasi wako, mtachukua vyetezo, Biblia Habari Njema - BHND Basi, fanyeni hivi: Asubuhi, wewe pamoja na wafuasi wako, mtachukua vyetezo, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Basi, fanyeni hivi: asubuhi, wewe pamoja na wafuasi wako, mtachukua vyetezo, Neno: Bibilia Takatifu Wewe Kora na wafuasi wako wote mtafanya hivi: Chukueni vyetezo, Neno: Maandiko Matakatifu Wewe Kora na wafuasi wako wote mtafanya hivi: Chukueni vyetezo, BIBLIA KISWAHILI Fanyeni neno hili; twaeni vyetezo, ninyi Kora na mkutano wenu wote; |
Na Nadabu na Abihu, wana wa Haruni, wakatwaa kila mtu chetezo chake, wakatia moto ndani yake, wakatia na uvumba, nao wakatoa moto najisi mbele ya BWANA, ambao yeye hakuwaagiza.
kisha akanena na Kora na mkutano wake wote, akawaambia, Asubuhi BWANA ataonesha ni kina nani walio wake, kisha ni nani aliye mtakatifu, tena ni nani atakayemkaribisha kwake; maana, yeye atakayemchagua ndiye atakayemsongeza kwake.
vitieni na moto, mkaweke na uvumba juu yake mbele za BWANA kesho; kisha itakuwa ya kwamba mtu atakayechaguliwa na BWANA, yeye atakuwa mtakatifu; inawatosha ninyi, enyi wana wa Lawi.