Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 16:6 - Swahili Revised Union Version

Fanyeni neno hili; twaeni vyetezo, ninyi Kora na mkutano wake wote;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, fanyeni hivi: Asubuhi, wewe pamoja na wafuasi wako, mtachukua vyetezo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, fanyeni hivi: Asubuhi, wewe pamoja na wafuasi wako, mtachukua vyetezo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, fanyeni hivi: asubuhi, wewe pamoja na wafuasi wako, mtachukua vyetezo,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wewe Kora na wafuasi wako wote mtafanya hivi: Chukueni vyetezo,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wewe Kora na wafuasi wako wote mtafanya hivi: Chukueni vyetezo,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Fanyeni neno hili; twaeni vyetezo, ninyi Kora na mkutano wenu wote;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 16:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na Nadabu na Abihu, wana wa Haruni, wakatwaa kila mtu chetezo chake, wakatia moto ndani yake, wakatia na uvumba, nao wakatoa moto najisi mbele ya BWANA, ambao yeye hakuwaagiza.


kisha akanena na Kora na mkutano wake wote, akawaambia, Asubuhi BWANA ataonesha ni kina nani walio wake, kisha ni nani aliye mtakatifu, tena ni nani atakayemkaribisha kwake; maana, yeye atakayemchagua ndiye atakayemsongeza kwake.


vitieni na moto, mkaweke na uvumba juu yake mbele za BWANA kesho; kisha itakuwa ya kwamba mtu atakayechaguliwa na BWANA, yeye atakuwa mtakatifu; inawatosha ninyi, enyi wana wa Lawi.