Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 15:18 - Swahili Revised Union Version

Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapoingia nchi niwapelekayo,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waisraeli kwamba wakati watakapoingia katika nchi ninayowapeleka

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waisraeli kwamba wakati watakapoingia katika nchi ninayowapeleka

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waisraeli kwamba wakati watakapoingia katika nchi ninayowapeleka

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapeleka,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapeleka

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapoingia nchi niwapelekayo,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 15:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


ndipo itakapokuwa ya kwamba kila mtakapokula katika chakula cha nchi hiyo, mtamsogezea BWANA sadaka ya kuinuliwa.


Nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Mtakapoingia nchi yenu ya kukaa, niwapayo,


Tena malimbuko yakiwa matakatifu, kadhalika na donge lote; na shina likiwa takatifu, matawi nayo kadhalika.