Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 15:1 - Swahili Revised Union Version

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamwambia Musa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 15:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika sikukuu hizo, na sikukuu nyingine zilizoamriwa, sadaka ya unga itakuwa efa moja kwa ng'ombe mmoja, na efa moja kwa kondoo dume mmoja, na kwa wale wana-kondoo kiasi awezacho kutoa, na hini moja ya mafuta kwa efa moja.


Ndipo Mwamaleki, na Mkanaani waliokaa huko mlimani, wakateremka, wakawapiga na kuwaangusha, hadi wakafika Horma.


Nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Mtakapoingia nchi yenu ya kukaa, niwapayo,


na kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, mikate ya unga mwembamba iliyokandwa kwa mafuta, na mikate ya kaki isiyochachwa, iliyotiwa mafuta, pamoja na sadaka zake za unga, na sadaka zake za kinywaji.