Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 11:9 - Swahili Revised Union Version

Umande ulipoiangukia kambi wakati wa usiku, hiyo mana ilianguka pamoja nao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

(Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, mana pia ilianguka pamoja na huo umande).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

(Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, mana pia ilianguka pamoja na huo umande).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

(Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, mana pia ilianguka pamoja na huo umande).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, pia mana ilianguka pamoja nao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, pia mana ilianguka pamoja nao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umande ulipoiangukia kambi wakati wa usiku, hiyo mana ilianguka pamoja nao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 11:9
6 Marejeleo ya Msalaba  

Walimwomba naye akaleta kware, Na kuwashibisha chakula cha mbinguni.


Basi Musa akawasikia watu wakilia katika jamaa zao zote, kila mtu mlangoni pa hema yake; na hasira za BWANA zikawaka sana; Musa naye akakasirika.


Watu wakazungukazunguka na kuikusanya, kisha wakaisaga kwa mawe ya kusagia, au kuitwanga katika vinu, kisha wakaitokosa vyunguni na kuandaa mikate; na ladha yake ilikuwa kama ladha ya mafuta mapya.


Mafundisho yangu yatadondoka kama mvua, Maneno yangu yatatona-tona kama umande; Kama manyunyu juu ya majani mabichi; Kama matone ya mvua juu ya mimea.