Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 11:19 - Swahili Revised Union Version

Hamtakula siku moja, wala siku mbili, wala siku tano, wala siku kumi, wala siku ishirini;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtakula nyama si kwa muda wa siku moja tu, au mbili, au tano, au kumi au ishirini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtakula nyama si kwa muda wa siku moja tu, au mbili, au tano, au kumi au ishirini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtakula nyama si kwa muda wa siku moja tu, au mbili, au tano, au kumi au ishirini,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hamtaila kwa siku moja tu, au siku mbili, au tano, kumi au siku ishirini,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hamtaila kwa siku moja tu, au siku mbili, au tano, kumi au siku ishirini,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hamtakula siku moja, wala siku mbili, wala siku tano, wala siku kumi, wala siku ishirini;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 11:19
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wakala wakashiba sana; Maana aliwaletea walivyovitamani;


Kisha uwaambie watu hawa, Jitakaseni nafsi zenu kabla ya kesho, nanyi mtakula nyama; kwa maana mmelia masikioni mwa BWANA, mkisema, Ni nani atakayetupa nyama, tule? Maana huko Misri tulikuwa na uheri. Basi kwa sababu hiyo BWANA atawapa nyama, nanyi mtakula.


lakini mtakula muda wa mwezi mzima, hadi hapo nyama hiyo itakapotoka katika mianzi ya pua zenu, nanyi mtaikinai, kwa sababu mmemkataa BWANA aliye kati yenu, na kulia mbele zake, mkisema, Tulitoka Misri kwa maana gani?