Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:5 - Swahili Revised Union Version

Wa wana wa Zatu, Shekania, mwana wa Yahazieli; na pamoja naye wanaume mia tatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shekania, mwana wa Yahazieli, wa ukoo wa Zatu, pamoja na wanaume 300.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shekania, mwana wa Yahazieli, wa ukoo wa Zatu, pamoja na wanaume 300.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shekania, mwana wa Yahazieli, wa ukoo wa Zatu, pamoja na wanaume 300.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Zatu, alikuwa Shekania mwana wa Yahazieli na wanaume mia tatu;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Zatu, alikuwa Shekania mwana wa Yahazieli na wanaume 300 pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wa wana wa Zatu, Shekania, mwana wa Yahazieli; na pamoja naye wanaume mia tatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Hanania; Pelatia na Yeshaya; na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.


Wa wana wa Pahath-Moabu, Eliehoenai, mwana wa Zerahia; na pamoja naye wanaume mia mbili;


Na wa wana wa Adini, Ebedi, mwana wa Yonathani; na pamoja naye wanaume hamsini.