Wakatujibu hivi, wakasema, Sisi tu watumishi wa Mungu wa mbingu na nchi, nasi tunaijenga nyumba iliyojengwa zamani sana, yapata miaka mingi, ambayo mfalme mkuu wa Israeli aliijenga na kuimaliza.
Ezra 5:10 - Swahili Revised Union Version Tukawauliza pia majina yao, ili kukuhakikishia, tupate kuandika majina ya watu waliokuwa wakubwa wao. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Tuliwauliza pia majina yao ili tuweze kukujulisha wale wanaoongoza kazi hiyo. Biblia Habari Njema - BHND Tuliwauliza pia majina yao ili tuweze kukujulisha wale wanaoongoza kazi hiyo. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Tuliwauliza pia majina yao ili tuweze kukujulisha wale wanaoongoza kazi hiyo. Neno: Bibilia Takatifu Pia tuliwauliza majina yao, ili tukuandikie kukujulisha majina ya viongozi wao. Neno: Maandiko Matakatifu Pia tuliwauliza majina yao, ili tukuandikie kukujulisha majina ya viongozi wao. BIBLIA KISWAHILI Tukawauliza pia majina yao, ili kukuhakikishia, tupate kuandika majina ya watu waliokuwa wakubwa wao. |
Wakatujibu hivi, wakasema, Sisi tu watumishi wa Mungu wa mbingu na nchi, nasi tunaijenga nyumba iliyojengwa zamani sana, yapata miaka mingi, ambayo mfalme mkuu wa Israeli aliijenga na kuimaliza.
Ndipo tukawauliza wale wazee, tukawaambia hivi, Ni nani aliyewapa amri kuijenga nyumba hii, na kuumaliza ukuta huu?