Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 6:1 - Swahili Revised Union Version

Ilimpendeza Dario kuweka juu ya ufalme wakuu mia moja na ishirini, wawe juu ya ufalme wote;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme Dario aliamua kuteua wakuu 120 kusimamia mambo ya utawala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme Dario aliamua kuteua wakuu 120 kusimamia mambo ya utawala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme Dario aliamua kuteua wakuu 120 kusimamia mambo ya utawala.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ilimpendeza Dario kuteua wakuu mia moja na ishirini kutawala katika ufalme wake wote,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ilimpendeza Dario kuteua wakuu 120 kutawala katika ufalme wake wote,

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Kwa mapenzi yake Dario akaweka watawala nchi 120 wa kuuangalia ufalme, wakiwa po pote katika huo ufalme.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 6:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Katika nyakati za Ahasuero; Ahasuero aliyetawala mikoa mia moja ishirini na saba, kutoka India mpaka Kushi;


Wekeni mataifa tayari juu yake, wafalme wa Wamedi, na watawala wake, na wakuu wake, na nchi yote ya mamlaka yake.


Kwa upande wangu, katika mwaka wa kwanza wa Dario, Mmedi, mimi nilisimama ili kumsaidia na kumtia nguvu.


Ndipo Nebukadneza akatuma watu kuwakusanya maamiri, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, majaji, mahakimu na wakuu wa wilaya zote, ili wahudhurie wakati wa kuizindua ile sanamu, mfalme Nebukadneza aliyoisimamisha.


Na Dario, Mmedi, akaupokea ufalme, naye umri wake alikuwa na miaka sitini na miwili.


na juu yao akaweka wakubwa watatu, na Danieli alikuwa mmoja wao; ili wakuu hawa watoe hesabu kwao, mfalme asipate hasara.


Katika mwaka wa kwanza wa Dario, mwana wa Ahasuero, wa uzao wa Wamedi, aliyetawazwa kuwa mfalme juu ya milki ya Wakaldayo;


au iwe ni watawala, kama wanaotumwa naye ili kuwalipiza kisasi watenda mabaya na kuwasifu watenda mema.