Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 5:30 - Swahili Revised Union Version

Usiku huo huo Belshaza, mfalme wa Wakaldayo, akauawa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiku huo huo, mfalme Belshaza wa Wakaldayo, aliuawa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiku huo huo, mfalme Belshaza wa Wakaldayo, aliuawa;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiku huo huo, mfalme Belshaza wa Wakaldayo, aliuawa;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa,

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Usiku uleule Belsasari, mfalme wa Wakasidi, akauawa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 5:30
9 Marejeleo ya Msalaba  

lakini mambo haya mawili yatakupata katika dakika moja siku moja, kufiwa na watoto, na ujane; yatakupata kiasi kamili, uchawi wako ujapokuwa mwingi, na uganga wako mwingi mno.


Nimekutegea mtego, Ee Babeli, nawe ukanaswa, nawe ulikuwa huna habari; umeonekana, ukakamatwa, kwa sababu ulishindana na BWANA.


Inoeni hiyo mishale; zishikeni ngao kwa nguvu; BWANA ameziamsha roho za wafalme wa Wamedi; kwa sababu shauri lake ni juu ya Babeli auangamize; maana ni kisasi cha BWANA, kisasi cha hekalu lake.


Tarishi mmoja atapiga mbio kumlaki mwingine, Na mjumbe mmoja atapiga mbio kumlaki mwenziwe, Ili kumpasha habari mfalme wa Babeli, Ya kuwa mji wake umetwaliwa kila upande.


Wakiingiwa na ukali, nitawafanyia karamu yao, nami nitawalevya, wapate kufurahi, na kulala usingizi wa milele, wasiamke tena, asema BWANA.


Nami nitawalevya wakuu wake, na watu wake wenye hekima, watawala wake, na makamanda wake, na mashujaa wake; nao watalala usingizi wa milele, wasiamke, asema Mfalme, BWANA wa majeshi, ambaye jina lake ni BWANA.


Basi kwa ajili ya hayo sasa watakwenda utumwani pamoja na wa kwanza watakaokwenda utumwani, na kelele za shangwe za hao waliojinyosha zitakoma.