Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 4:10 - Swahili Revised Union Version

Njozi za kichwa changu kitandani mwangu zilikuwa hivi; niliona, na tazama, palikuwa na mti katikati ya nchi, urefu wake mkubwa sana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nilipokuwa nimelala, niliona maono haya: Niliona mti mrefu sana katikati ya dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nilipokuwa nimelala, niliona maono haya: Niliona mti mrefu sana katikati ya dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nilipokuwa nimelala, niliona maono haya: Niliona mti mrefu sana katikati ya dunia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haya ndio maono niliyoona nilipokuwa nimelala kitandani mwangu: Nilitazama, na mbele yangu ulisimama mti katikati ya nchi. Ulikuwa mrefu sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haya ndiyo maono niliyoona nilipokuwa nimelala kitandani mwangu: Nilitazama, na mbele yangu ulisimama mti katikati ya nchi. Ulikuwa mrefu sana.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Maono niliyoyaona kwa macho yangu, nilipolala kitandani, ni haya: nilikuwa nikitazama, mara nikaona mti katika nchi, uliokuwa mrefu sana kwa kimo chake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 4:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Umewapanda, naam, wametia mizizi, wanakua, naam, wanazaa matunda; katika vinywa vyao u karibu, bali katika mioyo yao u mbali.


Nikaota ndoto iliyonitia hofu; mawazo niliyokuwa nayo kitandani mwangu, na njozi za kichwa changu, zikanifadhaisha.


Kisha nikamsikia mtakatifu mmoja akinena, na mtakatifu mwingine akamwuliza huyo aliyenena, Haya maono kuhusu habari ya sadaka ya kuteketezwa ya daima, na lile kosa liletalo ukiwa, yataendelea hata lini, kukanyaga patakatifu na jeshi?