Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 2:8 - Swahili Revised Union Version

Kwa hiyo nawasihi kumthibitishia upendo wenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo nawasihi: Mwonesheni kwamba mnampenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo nawasihi: Mwonesheni kwamba mnampenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo nawasihi: mwonesheni kwamba mnampenda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo, nawasihi mpate kuuthibitisha tena upendo wenu kwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo, nawasihi, mpate kuuthibitisha tena upendo wenu kwa ajili yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo nawasihi kumthibitishia upendo wenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 2:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

hata kinyume cha hayo, ni afadhali mmsamehe na kumfariji, mtu kama huyo asije akamezwa katika huzuni yake ipitayo kiasi.


Maana niliandika kwa sababu hii pia, ili nipate wazi kwenu kwamba mmekuwa wenye kutii katika mambo yote.


Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali tumikianeni kwa upendo.


Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.