Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 2:6 - Swahili Revised Union Version

Yamtosha mtu wa namna hii adhabu ile aliyopewa na walio wengi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yamtosha mtu wa namna hii adhabu ile aliyopewa na walio wengi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 2:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hiyo, naandika haya nikiwa mbali nanyi, ili, nikija, nisiwe na ukali wa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.


Maana, angalieni, kuhuzunishwa kuko huko kwa jinsi ya Mungu kulitenda bidii gani ndani yenu; naam, na kujitetea, naam, na kukasirika, naam, na hofu, naam, na shauku, naam, na kujitahidi, naam, na kisasi! Kwa kila njia mmejionesha wenyewe kuwa safi katika jambo hilo.


Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope.