Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 10:9 - Swahili Revised Union Version

nisije nikaonekana kana kwamba nataka kuwaogofya kwa nyaraka zangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha nyinyi kwa barua zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha nyinyi kwa barua zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha nyinyi kwa barua zangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sitaki nionekane kama ninayejaribu kuwatisha kwa nyaraka zangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sitaki nionekane kama ninayejaribu kuwatisha kwa nyaraka zangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nisije nikaonekana kana kwamba nataka kuwaogofya kwa nyaraka zangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 10:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Maana wasema, Nyaraka zake ni nzito, hodari; bali akiwapo mwenyewe mwilini ni dhaifu, na maneno yake si kitu.


Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu, (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga wala si kuwaangusha), sitatahayarika;