Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 9:4 - Swahili Revised Union Version

Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Ramoth-Gileadi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Nabii huyo kijana akaenda Ramothi Gileadi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Nabii huyo kijana akaenda Ramothi Gileadi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Nabii huyo kijana akaenda Ramothi Gileadi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi yule kijana nabii akaenda Ramoth-Gileadi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi yule kijana nabii akaenda Ramoth-Gileadi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Ramoth-Gileadi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 9:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana wa Geberi katika Ramoth-gileadi; na kwake ilikuwa miji ya Yairi mwana wa Manase iliyomo Gileadi; na kwake ilikuwa wilaya ya Argobu, iliyomo Bashani, miji mikubwa sitini yenye kuta na makomeo ya shaba.


Nabii Elisha akamwita mmojawapo wa wana wa manabii, akamwambia, Jikaze viuno, ukachukue chupa hii ya mafuta mkononi mwako, ukaende Ramoth-Gileadi.


Naye alipofika, tazama, majemadari wa jeshi walikuwa wamekaa; naye akasema, Nimetumwa na neno kwako, Ee jemadari; Yehu akasema, Kwa yupi miongoni mwetu sote? Akasema, Kwako wewe, Ee jemadari.